Haki na Wajibu

Kamisheni ina jukumu la kusimamia Haki za Watumishi wa Umma katika Taasisi zao

Miongozo

Tuna jukumu la kuhakikisha watumishi wote wanafuata taratibu na sheria kazini

Ufuatiliaji

Kamisheni ina wajibu wa kufuatilia uendeshaji wa shughuli za Rasilimali Watu
Karibu katika Tovuti Rasmi ya Kamisheni ya Utumishi wa Umma

Kubingwa M Simba

  • Katibu wa Kamisheni
Suala la kuimarisha Utumishi wa Umma ni moja ya vipaumbele vya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ). Serikali hii inatambua na kuamini kwamba, kuwa na Utumishi wa Umma wenye kutekeleza majukumu kwa ufanisi ni moja ya nyenzo muhimu katika kutoa huduma kwa wananchi na kuleta maendeleo endelevu katika jamii. Serikali katika kutekeleza kipaumbele hicho ...

Uimara wetu

Tuna timu bora na yenye uzoefu katika kushauri, kutatua na kuelekeza

Lengo letu

Kuwa na miongozo bora na imara ili kusimamia Utumishi  wa Umma

Thamani yetu

Ni mafikio ya kila Taasisi ya Umma katika kutekeleza utumishi bora na uliotukuka

startup-g0114870dd_1920
filing-cabinet-gc9946589e_1920
road-ge25d0a247_1280
Ukweli wa kufurahisha

Takwimu kwa ufupi

1

Makundi ya
Taasisi zinazohusika

1

Vipindi vya
Utumishi wa Kamisheni

1 +

Rufaa na Malalamiko ya
watumishi zilizosikilizwa

1 +

Rufaa na Malalamiko
zilizopatiwa ufumbuzi

Subscribe to our newsletter

Sign up to receive latest news, updates, promotions, and special offers delivered directly to your inbox.
No, thanks