Previous slide
Next slide
Haki na Wajibu
Kamisheni ina jukumu la kusimamia Haki za Watumishi wa Umma katika Taasisi zao
Miongozo
Tuna jukumu la kuhakikisha watumishi wote wanafuata taratibu na sheria kazini
Ufuatiliaji
Kamisheni ina wajibu wa kufuatilia
uendeshaji wa shughuli za Rasilimali Watu
Karibu katika Tovuti Rasmi ya Kamisheni ya Utumishi wa Umma
Suala la kuimarisha Utumishi wa Umma ni moja ya vipaumbele vya Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ). Serikali hii inatambua na kuamini kwamba, kuwa na Utumishi wa Umma wenye kutekeleza majukumu kwa ufanisi ni moja ya nyenzo muhimu katika kutoa huduma kwa wananchi na kuleta maendeleo endelevu katika jamii. Serikali katika kutekeleza kipaumbele hicho ...
Uimara wetu
Tuna timu bora na yenye uzoefu katika kushauri, kutatua na kuelekeza
Lengo letu
Kuwa na miongozo bora na imara ili kusimamia Utumishi wa Umma
Thamani yetu
Ni mafikio ya kila Taasisi ya Umma katika kutekeleza utumishi bora na uliotukuka




Ukweli wa kufurahisha
Takwimu kwa ufupi
1
Makundi ya
Taasisi zinazohusika
1
Vipindi vya
Utumishi wa Kamisheni
1
+
Rufaa na Malalamiko ya
watumishi zilizosikilizwa
1
+