Kamisheni ya Utumishi wa Umma - ZanzibarKamisheni ya Utumishi wa Umma - ZanzibarKamisheni ya Utumishi wa Umma - Zanzibar
+255 (24) 2230034
kamisheni.utumishi@zpsc.go.tz
Zanzibar, Tanzania
Kamisheni ya Utumishi wa Umma - ZanzibarKamisheni ya Utumishi wa Umma - ZanzibarKamisheni ya Utumishi wa Umma - Zanzibar

Kukabidhi Miundo

Kukabidhi miundo ya Taasisi ya SMIDA na Tume ya Utumishi wa Mahakama

Katibu  wa Kamisheni ya Utumishi wa Umma  Ndg. Kabingwa Mashaka  Simba ameitaka  Tume ya  Utumishi wa Mahakama  pamoja na  Wakala  wa Maendeleo ya Viwanda  Vidogo Vidogo, Vidogo na  Vya kati Zanzibar kuhakisha  wana chagua  viongozi  wenye sifa ili kuwapanga kwa mujibu Muundo wao wa Taasisi.

Katibu Kabigwa ametoa kauli hiyo ofisini kwake Mwanakwerekwe wakati akikabidhi  Miundo ya Taasisi hizo

Amesema  kukabidhiwa kwa miundo  ya taasisi itasaidia kutekeleza Majukumu yao ya kila siku bila ya muingiliano wa nafasi zao.

Wakitoa shukrani   kwa Kamisheni ya Utumishi wa Umma, Katibu wa  Tume ya Mahakama  pamoja na  Mkurungenzi  Mkuu wa (SMDA) ndugu Salum Hassan  Bakari na  ndugu  Soud Said Ali wamesema  wataitumia Miundo hio kwa kuwapanga Watumishi katika nasafi zao ili kuondoa muingiliano wa majukumu na hatimae kupelekea kupatikana tija katika utekelezaji wa kazi zao.

Leave A Comment

Subscribe to our newsletter

Sign up to receive latest news, updates, promotions, and special offers delivered directly to your inbox.
No, thanks