Kamisheni ya Utumishi wa Umma - ZanzibarKamisheni ya Utumishi wa Umma - ZanzibarKamisheni ya Utumishi wa Umma - Zanzibar
+255 (24) 2230034
kamisheni.utumishi@zpsc.go.tz
Zanzibar, Tanzania
Kamisheni ya Utumishi wa Umma - ZanzibarKamisheni ya Utumishi wa Umma - ZanzibarKamisheni ya Utumishi wa Umma - Zanzibar

Blog Standard

  • Home
  • Blog Standard Left Sidebar

Katibu wa Kamisheni ya Utumishi wa Umma akimkabidhi Naibu Mwanasheria Mkuu w Zanzibar Muundo wa Taasisi wa Afisi ya Mwanasheria Mkuu wa Zanzibar.

Wilaya ya magharibi B Unguja.Katibu wa Kamisheni ya Utumishi wa Umma ndugu Kubingwa Mashaka Simba ameitaka Taasisi ya Mwanasheria Mkuu Zanzibar kuhakisha kuwa muundo ulikabidhiwa unatekelezwa ili kukidhi mahitaji ya watumishi pamoja na wananchi wa Zanzibar kwa ujumla ndani ya Taasisi hiyo kwa kuchagua watendaji wazuri wanaoenda na sifa na ufanisi ikiwemo wenye sifa ya […]
Read More

KAMISHENI YA UTUMISHI WA UMMA YAKABIDHI MUUNDO WA TASISI WA ZRA

Kamisheni ya Utumishi wa Umma imeikabidhi Mamlaka ya Mapato Zanzibar (ZRA) Muundo wa taasisi hiyo kufuatia mabadiliko ya kimuundo kutoka iliyokua Bodi ya Mapato Zanzibar yaliyotokea hivi Karibuni. Akizunguza baada ya kukabidhi Muundo huo Katibu wa Kamisheni ya Utumishi wa Umma ndugu Kubingwa Mashaka Simba aliipongeza ZRA kuja na Muundo mpya unaokwenda smbamba na kasi […]
Read More

Kukabidhi Miundo

Kukabidhi miundo ya Taasisi ya SMIDA na Tume ya Utumishi wa Mahakama Katibu  wa Kamisheni ya Utumishi wa Umma  Ndg. Kabingwa Mashaka  Simba ameitaka  Tume ya  Utumishi wa Mahakama  pamoja na  Wakala  wa Maendeleo ya Viwanda  Vidogo Vidogo, Vidogo na  Vya kati Zanzibar kuhakisha  wana chagua  viongozi  wenye sifa ili kuwapanga kwa mujibu Muundo wao […]
Read More

KUWAAGA WASTAAFU

Ghafla ya Kuwaaga Wastaafu wa Kamisheni ya utumishi wa Umma Katibu wa Kamisheni ya Utumishi wa Umma ndugu Kabingwa Mashaka Simba amesema wataendeleza mambo mema na tabia njema wakiwa kazini na mahali  popote kwa kushirikiana pamoja na watendaji  wa Taasisi za serikali ili mafanikio yaweze kupatikana kwa kasi kubwa Katibu Kabigwa ameyasema hayo katika hafla […]
Read More

Matayarisho ya Ukaguzi

Mkuu wa Divisheni ya Ukaguzi akishirikiana na Maafisa wa Idara ya Ukaguzi, Rufaa na Malalamiko wakiwa Pamoja katika kuaanda Dodoso litakalo tumika katika kukusanyia taarifa za Ukaguzi wa Kawaida unaotarajiwa kufanyika katika makundi yote ya taasisi za Serikali ya mapinduzi ya Zanzibar ambazo ni Wizara, Mashirika, Makampuni na Taasisi zinazojitegemea na Wakalatedaji.
Read More

Subscribe to our newsletter

Sign up to receive latest news, updates, promotions, and special offers delivered directly to your inbox.
No, thanks